Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 10
JUMA LINALOANZA AGOSTI 10
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 7-9
Na. 1: Hesabu 9:1-14
Na. 2: Je, Karamu Zote Zinampendeza Mungu? (lr sura ya 29)
Na. 3: Jinsi Tunavyoweza Kumwonyesha Yehova Ushikamanifu
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Toleo la Agosti. Onyesho kuhusu jinsi ambavyo toleo la Agosti limetumiwa katika eneo lenu kwa mafanikio linaweza kupangwa. Pia, panga onyesho la jinsi ya kutumia toleo la Agosti wakati wa kumtolea mwenye nyumba funzo la Biblia.
Dak. 10: Kufafanua Maana ya Ufalme. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 280, fungu la 1, hadi ukurasa wa 281, fungu la 2.
Dak. 10: “Programu ya Kusanyiko la Pekee la Mwaka wa 2010.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.