Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 30
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 30
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 13 ¶5-15, sanduku kwenye uku. 150
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 32-34
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 32:1-21
Na. 2: “Ile Siku Kuu ya Yehova” Ni Nini? (Sef. 1:14)
Na. 3: Ndugu Zetu na Dada Zetu Ni Akina Nani? (lr sura ya 43)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Toleo la Desemba. Panga onyesho la familia ikitayarisha mambo ya kusema katika huduma ya shambani. Baba anaonyesha jinsi atakavyotoa toleo la Desemba, kisha mtu mwingine katika familia anajitolea kuonyesha jinsi yeye naye atakavyofanya.
Dak. 10: “Sisi Ni Mashahidi Wakati Wote.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji.