Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 12/09 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 21

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 21
  • Huduma ya Ufalme—2009
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA DESEMBA 21
Huduma ya Ufalme—2009
km 12/09 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 21

JUMA LINALOANZA DESEMBA 21

Wimbo 73

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

lv sura ya 14 ¶10-14, sanduku kwenye uku. 164-165, nyongeza kwenye uku. 222-223

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yoshua 9-11

Na. 1: Yoshua 9:1-15

Na. 2: Jinsi Tunavyoweza Kujua Har-Magedoni Imekaribia (lr sura ya 47)

Na. 3: Unaweza Kuishi Katika Ulimwengu Mpya wa Mungu Wenye Amani (lr sura ya 48)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 4

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 15: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Panga onyesho kuhusu mwangalizi wa kikundi anayemweleza mhubiri kijana kwa nini ameamua kutumia njia fulani ya kutoa magazeti, na ni swali na andiko gani ambalo amepanga kutumia. Kijana mhubiri naye anaeleza kwamba amefikiria kutumia njia fulani lakini angehitaji msaada wa kuiboresha. Kwa kutumia makala ambayo alikuwa amechagua, wanatunga swali na kuchagua andiko ambalo atasoma.

Dak. 15: “Jitolee kwa Nafsi Yote Kuwasaidia Wanafunzi Wako.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 2, mhoji mhubiri kuhusu jinsi anavyojitahidi kuonyesha kwamba anawajali wanafunzi wake. Matokeo yamekuwa nini? Pia, mhoji mhubiri ambaye amenufaika kwa sababu mwalimu wake wa Biblia alimjali kikweli.

Wimbo 66

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki