Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 4
JUMA LINALOANZA JANUARI 4
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 16-20
Na. 1: Yoshua 17:1-10
Na. 2: Wale Wanaoenda Mbinguni Watafanya Nini Huko? (rs uku. 204 ¶2-6)
Na. 3: Kwa Nini ‘Kuyumba-Yumba Juu ya Maoni Mawili’ Hakuwezi Kumpendeza Mungu? (1 Fal. 18:21)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Maswali ili Kuufikia Moyo wa Mwanafunzi Wako wa Biblia. Hotuba inayotegemea kichwa kidogo cha pili kwenye ukurasa wa 238 na kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 239 wa kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu. Tumia habari kwenye nyongeza ya Huduma Yetu ya Ufalme ya Novemba 2009 kuhusu shule za bweni.
Dak. 10: Tumia Vichapo vya Biblia Katika Huduma Yako. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea mafungu matatu chini ya kichwa “Kutumia Vichapo vya Biblia” kwenye ukurasa wa 100 na 101 wa kitabu Tengenezo. Mwombe mwangalizi wa utumishi au mzee mwingine atoe mapendekezo juu ya kutumia vichapo vyetu vizuri na kuepuka kuwapa watu ovyoovyo au kuvitumia vibaya.