Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 1
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 1
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 16 ¶9-14, sanduku kwenye uku. 192-193
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 8-10
Na. 1: Waamuzi 8:1-12
Na. 2: Je, Waovu Wataadhibiwa Milele? (rs uku. 156 ¶3–uku. 157 ¶2)
Na. 3: Je, Kuna Manufaa ya Kujua Ukweli Kuhusu Kifo?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Tangaza tarehe ya siku inayofuata ambayo imetengwa kwa kusudi la kuanzisha mafunzo ya Biblia. Simulia mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo, au umhoji mwangalizi wa utumishi, au mhubiri mwingine mwenye uzoefu, na umwulize ni njia zipi za kuanzisha mafunzo ambazo zimefanikiwa katika eneo lenu. Kisha unaweza kumwomba aonyeshe jinsi anavyoanzisha funzo.
Dak. 10: Tumia Vielelezo Katika Huduma Yako. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 247, fungu la 1, hadi ukurasa wa 248, fungu la 1.