Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 2/10 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 15

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 15
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA FEBRUARI 15
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 2/10 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 15

JUMA LINALOANZA FEBRUARI 15

Wimbo 54

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

lv sura ya 17 ¶1-10

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Waamuzi 15-18

Na. 1: Waamuzi 16:1-12

Na. 2: ‘Gehena ya Moto’ Ambayo Yesu Alitaja Ni Nini? (rs uku. 158 ¶1-3)

Na. 3: Kwa Nini Yesu Alimwita Ibilisi “Baba ya Uwongo”? (Yoh. 8:44)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 13

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 15: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Pitia kifupi magazeti yanayotolewa, kisha utaje makala ambazo unaona zinaweza kuwavutia watu katika eneo lenu. Panga onyesho la mhubiri akijizungumzia jukwaani kuhusu jinsi anavyoweza kujitayarisha kutoa magazeti hayo. Anachagua makala zinazofaa eneo lake, anatunga swali, na kuchagua maandiko atakayotumia. Kisha anajizoeza jinsi ya kutoa kila gazeti.

Dak. 15: ‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu.’ Mazungumzo kwa maswali na majibu. Kwa kumalizia, tumia habari iliyo kwenye ukurasa wa 70 wa kitabu Shule ya Huduma kuonyesha jinsi ya kutoa maelezo katika mikutano ya kutaniko.

Wimbo 82

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki