Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 15
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 15
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 15-18
Na. 1: Waamuzi 16:1-12
Na. 2: ‘Gehena ya Moto’ Ambayo Yesu Alitaja Ni Nini? (rs uku. 158 ¶1-3)
Na. 3: Kwa Nini Yesu Alimwita Ibilisi “Baba ya Uwongo”? (Yoh. 8:44)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Pitia kifupi magazeti yanayotolewa, kisha utaje makala ambazo unaona zinaweza kuwavutia watu katika eneo lenu. Panga onyesho la mhubiri akijizungumzia jukwaani kuhusu jinsi anavyoweza kujitayarisha kutoa magazeti hayo. Anachagua makala zinazofaa eneo lake, anatunga swali, na kuchagua maandiko atakayotumia. Kisha anajizoeza jinsi ya kutoa kila gazeti.
Dak. 15: ‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu.’ Mazungumzo kwa maswali na majibu. Kwa kumalizia, tumia habari iliyo kwenye ukurasa wa 70 wa kitabu Shule ya Huduma kuonyesha jinsi ya kutoa maelezo katika mikutano ya kutaniko.