Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 1
JUMA LINALOANZA MACHI 1
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ruthu 1-4
Na. 1: Ruthu 3:1-13
Na. 2: Jinsi Tunavyonufaika kwa Kuwa Wenye Rehema (Mt. 5:7)
Na. 3: Adhabu ya Dhambi Ni Nini? (rs uku. 159 ¶1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Tangaza siku inayofuata ambayo imetengwa kwa kusudi la kuanzisha mafunzo ya Biblia. Simulia mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo kisha umhoji mhubiri mmoja. Mwulize ni njia zipi za kuanzisha mafunzo ambazo zimefanikiwa katika eneo lenu. Mwombe aonyeshe jinsi ya kutumia mojawapo ya tangulizi kwenye ukurasa wa 10 wa kitabu Kutoa Sababu, chini ya kichwa “Funzo la Biblia Nyumbani.”
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu. Watie moyo wote wahakikishe kwamba wamejaza kadi zao za DPA au AMD. Jambo hili halipaswi kuahirishwa. Wale wanaohitaji msaada wanapaswa kumwona mwangalizi wa kikundi chao cha utumishi au msaidizi wake. Pitia mambo yanayohitaji kujazwa kwenye kadi hiyo.
Dak. 10: Umuhimu wa Kuzungumza kwa Usadikisho Katika Huduma Yetu. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 194-196.