Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 29
JUMA LINALOANZA MACHI 29
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 14-15
Na. 1: 1 Samweli 14:24-35
Na. 2: Njia Mbalimbali za Kumkaribia Yehova (Yak. 4:8)
Na. 3: Wale Watu Wenye Hekima, au Mamajusi, Ambao Nyota Iliwaongoza kwa Yesu, Walikuwa Nani? (rs uku. 276 ¶4–uku. 277 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 7: Jinsi ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Tangaza siku ambayo imeteuliwa kwa ajili ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. Mhoji mhubiri ambaye amefaulu kuanzisha na kuongoza mafunzo ya Biblia. Amefaulu kuanzisha mafunzo katika eneo lenu kwa kutumia tangulizi gani? Anazingatia nini anapofanya ziara za kurudia? Mwombe aonyeshe jinsi anavyotumia utangulizi mmoja kati ya zile ambazo huwa anatumia.
Dak. 15: Faidika kwa Kusoma Kitabu cha Mwaka cha 2010. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Zungumzia “Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza.” Chagua mambo yaliyoonwa katika Kitabu cha Mwaka, na ueleze jinsi mambo hayo yaliyoonwa yanavyotutia moyo katika utumishi. Waombe wasikilizaji wataje sehemu zinazotia moyo katika ripoti ya ulimwenguni pote. Malizia kwa kuwatia wote moyo wamalize kusoma Kitabu cha Mwaka.
Dak. 8: “Msaidie Mwenzako Mlangoni.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.