Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 5
JUMA LINALOANZA APRILI 5
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 2 ¶15-20, sanduku kwenye uku. 23
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 16-18
Na. 1: 1 Samweli 18:1-16
Na. 2: Tunapaswa Kufikiria Nini Hasa Tunapochunguza Desturi za Krismasi? (rs uku. 277 ¶3-5)
Na. 3: Kwa Nini Tunapaswa Kuwa Wenye Kuwakaribisha Wageni? (Rom. 12:13)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mwenye Nyumba Akisema, ‘Mimi Siamini Mungu.’ Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 220.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Watembelee Watu Wanaopendezwa Ambao Walihudhuria Ukumbusho. Hotuba. Taja idadi ya watu waliohudhuria Ukumbusho na usimulie mambo yaliyoonwa katika majira ya Ukumbusho. Watie wote moyo wawatembelee watu wanaopendezwa ambao walihudhuria Ukumbusho wakiwa na lengo la kuanzisha funzo la Biblia. Wanapaswa pia kuwaalika waje kusikiliza hotuba ya pekee itakayotolewa hivi karibuni. Panga onyesho kuhusu jinsi ya kumwalika mtu anayependezwa aje kusikiliza hotuba ya pekee.