Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 17
JUMA LINALOANZA MEI 17
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 4 ¶19-24, sanduku kwenye uku. 45
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 9-12
Na. 1: 2 Samweli 10:1-12
Na. 2: Kwa Nini Yesu Alitegemea Maandiko Alipofundisha? (Yoh. 7:16-18)
Na. 3: Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutengeneza Sanamu Zinazoabudiwa? (rs uku. 261 ¶1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Unaweza Kuwa Painia Msaidizi? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Pitia kifupi ukurasa wa 112-113 wa kitabu Tengenezo, na utaje matakwa ya kuwa painia. Waombe wale ambao wametumia likizo ya kazini au shuleni kufanya upainia msaidizi waeleze kuhusu baraka ambazo wamefurahia.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Mahubiri Yasiyo Rasmi. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 101, fungu la 2, mpaka ukurasa wa 102, fungu la 2. Simulia au panga onyesho la jambo moja au mawili yaliyoonwa katika mahubiri yasiyo rasmi kwenye eneo lenu.
Dak. 10: “Wahudumu Wakristo Wanahitaji Kusali.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.