Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 24
JUMA LINALOANZA MEI 24
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 13-15
Na. 1: 2 Samweli 13:23-33
Na. 2: Je, Tunaweza Kumwabudu Mungu wa Kweli Kupitia Sanamu? (rs uku. 261 ¶5–uku. 262 ¶1)
Na. 3: Kwa Nini Tusiutumie Ulimwengu Kikamili? (1 Kor. 7:31)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Juni. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Tumia dakika moja au mbili kupitia magazeti ya karibuni. Kisha chagua makala mbili au tatu na uwaombe wasikilizaji wataje maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati magazeti hayo yanapotolewa. Panga maonyesho ya jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Dak. 20: “Wewe Ungekuwa Painia Mzuri!” Mazungumzo kwa maswali na majibu.