Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 8
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 8
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 21-25
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 22:11-19
Na. 2: Ni Mambo Gani Yanayoweza Kutusaidia Kuipenda Kweli Zaidi?
Na. 3: Mashahidi wa Yehova Wanapata Ufafanuzi Wao wa Biblia Jinsi Gani? (rs uku. 193 ¶1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tafuta Fursa za Kuhubiri na Uzitumie Vizuri. (Mdo. 16:13) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka wa 2010, ukurasa wa 43, fungu la 1-2; ukurasa wa 59, fungu la 2; na ukurasa wa 62, fungu la 2, hadi ukurasa wa 63, fungu la 1. Baada ya kuzungumzia kila jambo lililoonwa, waalike wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo waliyojifunza.
Dak. 15: “Mashamba Ni Meupe kwa Ajili ya Kuvunwa.” Maswali na majibu.