Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 31
JUMA LINALOANZA JANUARI 31
Wimbo 99 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 17 ¶1-9 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 2:11-20 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Andiko la Yohana 1:1 Linathibitisha Kwamba Yesu Ni Mungu?—rs uku. 431 ¶2-4 (Dak. 5)
Na. 3: Jinsi Tunavyotii Maneno ya Yesu Kwenye Mathayo 22:21 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 20: “Msaada kwa Familia.”—Sehemu ya 2. (Fungu la 7-13) Maswali na majibu. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi familia yao imefaidika kwa kutumia madokezo yaliyo katika ukurasa wa 6.
Dak. 10: “Wazoeze Watoto Wako Kuwa Wahudumu.” Maswali na majibu. Waombe wasikilizaji waeleze njia hususa ambazo wazazi wao walitumia ili kuwasaidia wajiwekee na kufikia miradi ya kufanya maendeleo katika huduma.
Wimbo 88 na Sala