Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 7
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 7
Wimbo 25 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 17 ¶10-15 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 5-8 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 6:1-13 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mifano ya Lidia, Gayo, na Filemoni, Inatufundisha Nini Kuhusu Ukarimu? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maneno ya Tomasi Katika Yohana 20:28 Yanathibitisha Kwamba kwa Kweli Yesu Ni Mungu?—rs uku. 431 ¶5–uku. 432 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Unatumia Zawadi Yako Katika Huduma? Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 75, fungu la 4, hadi ukurasa wa 76, fungu la 3.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Sema Mambo Yaliyo Sahihi Unapohubiri na Kufundisha. Mazungumzo yakitegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 223, fungu la 1-5.
Wimbo 13 na Sala