Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 9/11 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 19

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 19
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 19
Huduma Yetu ya Ufalme—2011
km 9/11 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 19

JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 19

Wimbo 78 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 9 ¶19-24, sanduku kwenye uku. 73 (Dak. 25)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Zaburi 135-141 (Dak. 10)

Na. 1: Zaburi 137:1–138:8 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Jinsi Maneno ya Paulo Katika Waroma 14:7-9 Yanavyotufariji (Dak. 5)

Na. 3: Ufalme wa Mungu Utaifanya Dunia Iwe Paradiso—rs uku. 317 ¶6-uku 318 ¶1 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 60

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Tulitimiza Nini Mwaka Uliopita? Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi. Pitia utendaji wa kutaniko katika mwaka wa utumishi uliopita, ukikazia mambo mazuri yaliyotimizwa na kuwapongeza kwa mambo hayo. Hoji mhubiri mmoja au wawili walio na mambo mazuri yaliyoonwa. Taja sehemu moja au mbili za huduma ambazo kutaniko linaweza kufanyia kazi katika mwaka wa utumishi unaofuata na utoe madokezo yanayoweza kuwasaidia kuboresha sehemu hizo za utumishi.

Dak. 10: Je, Unaweza Kueleza? Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 198, maswali 12-13.

Dak. 10: “Yehova Anatuzoeza kwa Ajili ya Kazi Hii.” Maswali na majibu.

Wimbo 117 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki