Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 17
JUMA LINALOANZA OKTOBA 17
Wimbo 85 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 11 ¶5-12, sanduku kwenye uku. 89 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 12-16 (Dak. 10)
Na. 1: Methali 15:1-17 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Sala Zinazokubalika Ni Kama Uvumba Ulio na Harufu Tamu kwa Yehova Jinsi Gani?—Zab. 141:2; Ufu. 5:8 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Ishara Gani Inayoonyesha Kwamba Tunaishi Katika Siku za Mwisho?—rs uku. 285 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba msikilizaji mmoja au zaidi wasome Mathayo 5:11, 12, 14-16, 23, 24. Zungumzia jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma.
Dak. 10: Acha Mwenye Nyumba Aone kwa Macho Yake Mwenyewe. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 145. Panga onyesho fupi linaloonyesha mhubiri akimrudia mtu aliyependezwa ambaye Biblia yake haina jina la Mungu.
Dak. 10: “Usisite.” Maswali na majibu. Waombe watu wazima na watoto waeleze mambo waliyojionea walipokuwa wanatoa ushahidi shuleni.
Wimbo 80 na Sala