Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 7
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 7
Wimbo 131 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 12 ¶9-13, sanduku kwenye uku. 97 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 27-31 (Dak. 10)
Na. 1: Methali 28:19–29:10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Maneno ya Andiko la Waroma 8:32 Yanatuhakikishiaje Kwamba Ahadi Zote za Yehova Zitatimizwa? (Dak. 5)
Na. 3: Andiko la Luka 21:11 Limekuwa Likitimizwa Jinsi Gani Tangu 1914?—rs uku. 287 ¶1-3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo na Habari Kuu za Utumishi.
Dak. 10: Kujibu Maswali Kuhusu Kutiwa Damu Mishipani. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 46 fungu la 1, hadi ukurasa wa 48 fungu la 1. Tia ndani onyesho fupi la mwenye nyumba akimwuliza painia anayehubiri nyumba kwa nyumba mojawapo ya maswali hayo. Painia huyo anajibu kwa kutumia kitabu Kutoa Sababu.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Yehova Hatawaacha Watu Wake. (Zab. 94:14) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011 ukurasa wa 215, fungu la 1-2, na ukurasa wa 221, fungu la 3, hadi ukurasa wa 222, fungu la 5. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Wimbo 110 na Sala