Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 14
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 14
Wimbo 49 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 12 ¶14-20 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mhubiri 1-6 (Dak. 10)
Na. 1: Mhubiri 6:1-12 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kuongezeka kwa Uasi Sheria Kunaonyesha Nini?—rs uku. 287 ¶4–uku. 288 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Wakristo wa Kweli Hufuata Shauri la Waroma 12:19? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Je, Unapata Shangwe Inayotokana na “Pendeleo la Kutoa kwa Fadhili”? Hotuba inayotegemea Mnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2011, ukurasa wa 22-23. Hotuba hiyo itolewe na mzee.
Dak. 15: “Lazima Mbegu Zitiwe Maji ili Zikue.” Maswali na majibu. Panga onyesho la mhubiri anayejizungumzia litakalofanywa baada ya kuzungumzia fungu la 3. Katika onyesho hilo, mhubiri anajitayarisha kwa ajili ya ziara ya kurudia. Anapitia rekodi yake kumhusu mtu huyo na kufikiria jinsi ya kujibu swali ambalo mhubiri aliuliza na jinsi ya kuanzisha funzo kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha. Pitia kifupi habari kuhusu ziara za kurudia katika kitabu Tengenezo, ukurasa wa 85, fungu la 4.
Wimbo 98 na Sala