Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 5
JUMA LINALOANZA DESEMBA 5
Wimbo 29 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 13 ¶17-24 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 3:16–4:6 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Tunapaswa Kutambua Umuhimu wa Nyakati Tunamoishi? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kuna Yeyote Atakayekuwa Hai Duniani Baada ya Mwisho wa Ulimwengu Huu?—rs uku. 290 ¶3–uku. 291 ¶3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak 5: Matangazo.
Dak. 10: Mtu Akiuliza, Kwa Nini Husherehekei Krismasi? Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 275 fungu la 3 hadi ukurasa wa 278, fungu la 4. Panga onyesho fupi.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Jitayarishe kwa Ajili ya Huduma. Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo. (1) Unajitayarishaje kwa ajili ya (a) kuhubiri nyumba kwa nyumba? (b) kufanya ziara za kurudia? (c) kuhubiri isivyo rasmi? (2) Kwa nini tunapaswa kutayarisha kila mara tunapoongoza funzo la Biblia? (3) Wewe hufanya nini ili kumsaidia mwanafunzi wa Biblia atayarishe kwa ajili ya funzo? (4) Kutayarisha hukusaidiaje kufurahia zaidi huduma? (5) Kwa nini Yehova hupendezwa tunapotayarisha kwa ajili ya huduma?
Wimbo 101 na Sala