Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 16
JUMA LINALOANZA JANUARI 16
Wimbo 98 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 15 sanduku kwenye uku. 121 (Dak. 25.)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 34-37 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 35:1-10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunapaswa Kumtegemea Yehova—Zab. 25:1-5 (Dak. 5)
Na. 3: Tunaweza Kuwa na Tumaini la Kuishi Milele kwa Msingi Gani?—rs uku. 330 ¶8-10 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo..
Dak. 15: Fahamu Maoni ya Anayeuliza Swali. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma ukurasa wa 66, fungu la 1, hadi ukurasa wa 68, fungu la 3. Panga onyesho fupi la mhubiri anayejizungumzia kuhusu maoni na mahangaiko ambayo huenda mwenye nyumba ambaye amemuuliza swali akawa nayo; kisha mhubiri anamjibu kwa njia inayofaa..
Dak. 15: Dumisheni Mwenendo Wenu Ukiwa Mzuri Katikati ya Mataifa. (1 Pet. 2:12) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 124, fungu la 1-2, na ukurasa wa 150, fungu la 2 hadi ukurasa wa 151 fungu la 1. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza..
Wimbo 97 na Sala