Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 23
JUMA LINALOANZA JANUARI 23
Wimbo 89 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 15 ¶13-20 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 38-42 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 39:1–40:5 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Matazamio ya Kuishi Wakati Ujao Yatatimizwaje?—rs uku. 331 ¶1–3 (Dak. 5)
Na. 3: Ubora wa Elimu Inayotoka kwa Mungu—Flp. 3:8 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10 Matangazo. Taja toleo la mwezi wa Februari, na upange onyesho moja. Zungumzia Habari Kuu za Utumishi.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Panga andiko la Marko 10:17-30 lisomwe. Zungumzia pamoja na wasikilizaji jinsi andiko hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Dak. 15: “Wahubirie ‘Watu wa Namna Zote.’” Maswali na majibu. Zungumzia kusudi la kila broshua inayoonyeshwa katika nyongeza. Kisha uchague broshua mbili zinazoweza kuwafaidi watu katika eneo wanapozisoma. Zungumzia mambo yaliyo ndani ya broshua hizo, na upange maonyesho ya kutoa broshua hizo mbili.
Wimbo 112 na Sala