Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 2/12 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 13

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 13
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA FEBRUARI 13
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 2/12 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 13

JUMA LINALOANZA FEBRUARI 13

Wimbo 7 na Sala

□Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 16 ¶13-18 (Dak. 25)

□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Isaya 52-57 (Dak. 10)

Na. 1: Isaya 56:1-12 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Tunafaidikaje Kutokana na Mfano wa Ushikamanifu wa Petro?​—Yoh. 6:68, 69 (Dak. 5)

Na. 3: Je, Biblia Inaruhusu Ndoa za Wake Wengi?​—rs uku. 227 ¶4–uku. 228 ¶5 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 117

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Sitawisha Ustadi wa Kufundisha—Sehemu ya 1. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 56, fungu la 1, hadi ukurasa wa 57, fungu la 2.

Dak. 10: Mungu Anakuza. (1 Kor. 3:6) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 55, fungu la 1-2, na ukurasa wa 138, fungu la 3 hadi ukurasa wa 139, fungu la 1. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo waliyojifunza.

Dak. 10: “Fanya Mipango Sasa ya Kuongeza Utendaji Wako Katika Huduma.” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 3, mwombe mwangalizi wa utumishi aeleze mipango ya kutaniko lenu kuhusiana na mikutano ya utumishi katika mwezi wa Machi, Aprili, na Mei.

Wimbo 107 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki