Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 13
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 13
Wimbo 7 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 16 ¶13-18 (Dak. 25)
□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 52-57 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 56:1-12 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunafaidikaje Kutokana na Mfano wa Ushikamanifu wa Petro?—Yoh. 6:68, 69 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Biblia Inaruhusu Ndoa za Wake Wengi?—rs uku. 227 ¶4–uku. 228 ¶5 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Sitawisha Ustadi wa Kufundisha—Sehemu ya 1. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 56, fungu la 1, hadi ukurasa wa 57, fungu la 2.
Dak. 10: Mungu Anakuza. (1 Kor. 3:6) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 55, fungu la 1-2, na ukurasa wa 138, fungu la 3 hadi ukurasa wa 139, fungu la 1. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo waliyojifunza.
Dak. 10: “Fanya Mipango Sasa ya Kuongeza Utendaji Wako Katika Huduma.” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 3, mwombe mwangalizi wa utumishi aeleze mipango ya kutaniko lenu kuhusiana na mikutano ya utumishi katika mwezi wa Machi, Aprili, na Mei.
Wimbo 107 na Sala