Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 19
JUMA LINALOANZA MACHI 19
Wimbo 11 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 18 ¶6-11 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 8-11 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 10:17–11:5 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ukumbusho Una Umuhimu Gani?—rs uku. 336 ¶6–uku. 337 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Mkate na Divai Ambazo Hutumiwa Kwenye Ukumbusho Humaanisha Nini?—rs uku. 337 ¶3–uku. 338 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba msikilizaji mmoja au zaidi wasome Mathayo 6:19-34. Zungumzia jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Dak. 15: “Toa Ushahidi Katika Eneo la Biashara kwa Ujasiri.” Maswali na majibu. Mhoji mhubiri ambaye amepata matokeo mazuri kwa kuhubiri katika eneo la biashara.
Wimbo 108 na Sala