Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 2
JUMA LINALOANZA APRILI 2
Wimbo 8 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 18 ¶19-24 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 17-21 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 21:1-10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Utawala wa Shetani Umethibitisha Nini? (Dak. 5)
Na. 3: Ni nini Kinachoweza Kuboresha Ndoa?—rs uku. 231 ¶1-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Tumia pendekezo lililo katika ukurasa huu, au utumie pendekezo lolote linalofaa katika matoleo yaliyopita ya Huduma Yetu ya Ufalme kuonyesha jinsi mafunzo ya Biblia yanavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Aprili.
Dak. 15: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Aprili. Mazungumzo kuhusu magazeti ya karibuni yanayopatikana katika kutaniko na mapendekezo ya jinsi ya kuyatoa yaliyo katika Huduma Yetu ya Ufalme. Tumia dakika moja au mbili kuzungumzia makala chache ambazo huenda zikawavutia watu katika eneo lenu. Halafu, kwa kutumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza, na pia andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za Amkeni!, na wakati ukiruhusu zungumzia makala nyingine moja kutoka katika mojawapo ya magazeti hayo. Panga onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 99 na Sala