Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 13
JUMA LINALOANZA AGOSTI 13
Wimbo 63 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 25 ¶1-7, masanduku kwenye uku. 199-200 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 28-31 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 28:17-26 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ni Mafundisho Gani Kumhusu Yesu Kristo Yaliyo ya Kweli na Gani Yaliyo ya Uwongo? (Dak. 5)
Na. 3: Maoni ya Mkristo Kuhusu Kujihusisha na Masuala ya Kisiasa Hutegemea Maandiko Gani?—rs uku. 137 ¶1–5 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Weka Msingi Kwa Ajili ya Ziara za Kurudia. Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: (1) Kwa nini ni muhimu kuweka msingi kwa ajili ya ziara ya kurudia katika ziara ya kwanza, na tunaweza kufanyaje hivyo? (2) Tunaweza kuchaguaje swali linalomvutia mwenye nyumba tutakalojibu katika ziara inayofuata? (3) Kwa nini ni vizuri kukubaliana kuhusu wakati hususa wa ziara itakayofuata na ikiwezekana, kuchukua namba ya simu au anwani ya barua pepe ya mwenye nyumba? (4) Kwa nini tunapaswa kujitahidi kurudi bila kukawia, labda baada ya siku chache? (5) Ni mambo gani tunayopaswa kuandika kwenye ziara ya kwanza?
Dak. 10: Mhoji mtumishi wa wakati wote mmoja au wawili. Ni nini kiliwachochea kuanza utumishi wa wakati wote? Walikabili hali gani ngumu ambazo zingewazuia kuendelea na utumishi wa wakati wote, na nini kilichowasaidia kuendelea? Wamepata baraka gani? Watie moyo wahubiri wafikirie kuanza upainia wa kawaida katika mwaka wa utumishi unaofuata.
Dak. 10: “Linda Dhamiri Yako.” Maswali na majibu. Tangaza tarehe ya kusanyiko la pekee ikiwa inajulikana.
Wimbo 65 na Sala