Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 9/12 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 17

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 17
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 17
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 9/12 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 17

JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 17

Wimbo 49 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 26 ¶16-22, sanduku kwenye uku. 209 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Ezekieli 46-48 (Dak. 10)

Na. 1: Ezekieli 48:1-14 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Kwa Nini Tuwe Wanyoofu Katika Mambo Yote?—Efe. 4:25, 28; 5:1 (Dak. 5)

Na. 3: Kuwajibu Watu Wanaosema, ‘Ninyi Mna Biblia Yenu Wenyewe’—rs uku. 296 ¶3–uku. 297 ¶2 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

□Wimbo 64

Dak. 30: “Young People Ask—What Will I Do With My Lifer? (Sehemu ya 1)” Maswali na majibu. Tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na la mwisho ili kutoa utangulizi na umalizio mfupi. Mahali ambapo video hiyo haipatikani, tumia habari iliyo katika kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, buku la 2, sura ya 38 yenye kichwa, “Nitayatumiaje Maisha Yangu?” Watie moyo vijana wawe na miradi ya kitheokrasi kama ile inayotajwa katika sura hiyo na watafute mwongozo kutoka kwa wazazi wao Wakristo na Wakristo wengine wakomavu.

Wimbo 88 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki