Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 17
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 17
Wimbo 49 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 26 ¶16-22, sanduku kwenye uku. 209 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 46-48 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 48:1-14 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Tuwe Wanyoofu Katika Mambo Yote?—Efe. 4:25, 28; 5:1 (Dak. 5)
Na. 3: Kuwajibu Watu Wanaosema, ‘Ninyi Mna Biblia Yenu Wenyewe’—rs uku. 296 ¶3–uku. 297 ¶2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 30: “Young People Ask—What Will I Do With My Lifer? (Sehemu ya 1)” Maswali na majibu. Tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na la mwisho ili kutoa utangulizi na umalizio mfupi. Mahali ambapo video hiyo haipatikani, tumia habari iliyo katika kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, buku la 2, sura ya 38 yenye kichwa, “Nitayatumiaje Maisha Yangu?” Watie moyo vijana wawe na miradi ya kitheokrasi kama ile inayotajwa katika sura hiyo na watafute mwongozo kutoka kwa wazazi wao Wakristo na Wakristo wengine wakomavu.
Wimbo 88 na Sala