Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 8
JUMA LINALOANZA OKTOBA 8
Wimbo 75 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 27 ¶19-26, sanduku kwenye uku. 212, 214, 217 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Danieli 7-9 (Dak. 10)
Na. 1: Danieli 7:13-22 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Biblia Inaonyesha Kwamba Wakristo wa Kweli Wangekuwa Watu Ambao Wamepangwa Kitengenezo?—rs uku. 299 ¶2–uku. 300 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Yehova Ni Mshikamanifu Katika Njia Gani?—Ufu. 15:4; 16:5 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Mtu Akisema, ‘Nina Shughuli.’ Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 19, fungu la 4, hadi ukurasa wa 20, fungu la 3.. Zungumzia baadhi ya mapendekezo yaliyoonyeshwa ya jinsi ya kujibu na pia mapendekezo mengine ambayo yametumika kwa mafanikio katika eneo lenu. Panga maonyesho mawili mafupi.
Dak. 10:Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba wasikilizaji wasome Mathayo 21:12-16 na Luka 21:1-4. Zungumzia mambo tunayojifunza kutokana na masimulizi hayo.
Dak. 10: “Unaweza Kushiriki Kutoa Ushahidi Jioni?” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 2, waombe wasikilizaji wasimulie mambo waliyofurahia walipokuwa wakitoa ushahidi jioni.
Wimbo 92 na Sala