Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 15
JUMA LINALOANZA OKTOBA 15
Wimbo 101 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 28 ¶1-7 (Dak.30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Danieli 10-12 (Dak.10)
Na. 1: Danieli 11:15-27 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wakristo Hawalipizi Kisasi?—Rom. 12:18-21 (Dak.5)
Na. 3: Je, Watumishi Waaminifu wa Mungu Wametawanyika Katika Makanisa Mbalimbali ya Dini Zinazodai Kuwa za Kikristo?—rs uku. 300 ¶3-5 (Dak.5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Mtu Akisema, ‘Mimi Sipendezwi.’ Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 16, fungu la 1, hadi ukurasa wa 17, fungu la 10. Zungumzia baadhi ya mapendekezo yaliyoonyeshwa ya jinsi ya kujibu na vilevile mapendekezo mengine ambayo yametumiwa kwa mafanikio katika eneo lenu. Panga onyesho la mapendekezo mawili.
Dak. 20: “Tumia Trakti Kueneza Habari Njema.” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 5, pitia kwa ufupi trakti zinazotolewa mwezi wa Novemba na upange onyesho. Unapozungumzia fungu la 7, panga onyesho la jinsi trakti zinavyoweza kutumiwa katika mahubiri yasiyo rasmi.
Wimbo 97 na Sala