Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 19
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 19
Wimbo 81 na Sala
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 1 ¶15-21 (Dak. 30)
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Obadia 1–Yona 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Yona 2:1-10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Jinsi Ibada ya Kweli Inavyounganisha Watu wa Malezi Mbalimbali—Zab. 133:1 (Dak. 5)
Na. 3: Paradiso Inayotajwa Katika Luka 23:43 Si Sehemu ya Hadesi Wala ya Mbinguni—rs uku. 239 ¶2–uku. 240 ¶3 (Dak. 5)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Kutumika Katika Eneo Lenye Uhitaji Mkubwa Zaidi Huleta Baraka Nyingi Kutoka kwa Yehova. Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2012, ukurasa wa 115, fungu la 1, hadi ukurasa wa 116, fungu la 2; ukurasa wa 151, fungu la 3; ukurasa wa 153, fungu la 1-2; na ukurasa wa 170, fungu la 1, hadi ukurasa wa 171, fungu la 3. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 15: “Usijiwekee Vizuizi—Kushinda Hisia za Kujiona Hustahili.” Maswali na majibu. Mhoji kifupi mhubiri ambaye ameshiriki katika kazi ya kuongoza mafunzo ya Biblia licha ya kwamba ni mwoga au hana elimu ya kilimwengu ya kutosha.
Wimbo 26 na Sala