Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 17
JUMA LINALOANZA DESEMBA 17
Wimbo 97 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 2 ¶20-27, sanduku kwenye uku. 29 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zekaria 1-8 (Dak. 10)
Na. 1: Zekaria 8:1-13 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Jinsi Tunavyoonyesha Kwamba Yehova Ni Bwana Wetu Mwenye Enzi Kuu—Zab. 73:28 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Ni Jambo la Busara Kujifunza Mafundisho ya Yesu Kristo Badala ya Falsafa za Wanadamu?—rs uku. 76 ¶2–uku. 77 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: “Njia za Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa . . .” Mazungumzo.
Dak. 10: Ujumbe Ambao Ni Lazima Tuutangaze—“Hofu Mungu wa Kweli na Uzishike Amri Zake.” Hotuba yenye kusisimua inayotoka kwenye kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 272, hadi kwenye kichwa kidogo katika ukurasa wa 275.
Dak. 15: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Kwa njia ya hotuba, pitia kifupi habari kutoka katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Toa Ushahidi Katika Eneo la Biashara kwa Ujasiri” (km 3/12), “Wasaidie Watu Wamsikilize Mungu” (km 7/12), na “Je, Unaweza Kushiriki Kutoa Ushahidi Jioni?” (km 10/12). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamefaidika kwa kutumia madokezo yanayopatikana katika makala hizo.
Wimbo 117 na Sala