Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 21
JUMA LINALOANZA JANUARI 21
Wimbo 61 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 4 ¶9-14 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mathayo 12-15 (Dak. 10)
Na. 1: Mathayo 14:23–15:11 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Akisema, ‘Tuombe Kwanza, Kisha Unipe Ujumbe Wako’—rs uku. 260 ¶4-5 (Dak. 5)
Na. 3: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Mfano wa Isaka Kama Mfanya-Amani?—Mwa. 26:19-22 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Tangaza Habari Njema Bila Kuacha. (Matendo 5:42) Hoji mhubiri mmoja au wawili ambao wanajulikana kuwa wenye bidii katika kutangaza habari njema. Ni nini kinachowasaidia kuona huduma kuwa jambo la kutangulizwa? Wanafanya nini ili kujitayarisha kwa ajili ya huduma? Huduma imewaimarishaje kiroho?
Dak. 10: Mwenendo Wetu Mzuri Hutoa Ushahidi. (1 Pet. 2:12) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2012, ukurasa wa 106, fungu la 1; ukurasa wa 133, fungu la 2; na ukurasa wa 146, fungu la 3. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: “Je, Utanufaika kwa Kuwa na Eneo la Kibinafsi?” Maswali na majibu.
Wimbo 96 na Sala