Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 2/13 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 18

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 18
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA FEBRUARI 18
Huduma ya Ufalme—2013
km 2/13 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 18

JUMA LINALOANZA FEBRUARI 18

Wimbo 52 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

jr sura ya 5 ¶13-18 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Marko 1-4 (Dak. 10)

Na. 1: Marko 2:18–3:6 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Msingi wa Fundisho la Toharani Ni Nini?​—rs uku. 302 ¶1-uku. 303 ¶3 (Dak. 5)

Na. 3: Tunapaswa Kulielewaje Shauri la Paulo Linalopatikana Kwenye 1 Wakorintho 7:29-31? (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 92

Dak. 15: Lihubiri Neno Katika Majira Yenye Taabu. (2 Tim. 4:2) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2012, ukurasa wa 72, fungu la 1-2; ukurasa wa 110; ukurasa wa 156, fungu la 1, hadi ukurasa wa 157, fungu la 1; na ukurasa wa 179, fungu la 4. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu masomo waliyojifunza.

Dak. 15: “Kampeni ya Kuwaalika Watu Kwenye Ukumbusho Itaanza Machi 1.” Maswali na majibu. Mpe kila mmoja aliyehudhuria nakala ya mwaliko, na uzungumzie yaliyomo katika mwaliko huo. Unapozungumzia fungu la 2, mwombe mwangalizi wa utumishi ataje mipango ya kutaniko lenu ya kuwafikia wengi iwezekanavyo katika eneo. Tumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 4 kupanga onyesho la jinsi mwaliko huo unavyoweza kutolewa. Onyesho hilo lifanywe unapozungumzia fungu la 3.

Wimbo 8 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki