Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 18
JUMA LINALOANZA MACHI 18
Wimbo 120 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 6 ¶19-24, sanduku kwenye uku. 78 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Luka 1-3 (Dak. 10)
Na. 1: Luka 1:24-45 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ni Nani Wanaopaswa Kula Mkate na Kunywa Divai Katika Mlo wa Jioni wa Bwana?—rs uku. 338 ¶3-4 (Dak. 5)
Na. 3: Ukumbusho Unapaswa Kuadhimishwa Mara Ngapi na Wakati Gani?—rs uku. 339 ¶3–uku. 340 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 12: “Wakaribishe kwa Uchangamfu!” Maswali na majibu. Panga kuwe na maonyesho mawili yanayoonyesha mhubiri akichukua hatua ya kwanza kumkaribisha mgeni, na kisha baada ya programu kumalizika, akifanya mipango kwa njia ya busara ili kuendeleza upendezi wa mtu huyo.
Dak. 18: “Jinsi ya Kutumia Broshua Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?” Maswali na majibu. Panga kuwe na onyesho la dakika saba la mhubiri akizungumzia pamoja na mwanafunzi wa Biblia mojawapo ya masomo katika broshua hiyo.
Wimbo 20 na Sala