Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 16
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 16
Wimbo 21 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 ¶8-13 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wakorintho 1-7 (Dak. 10)
Na. 1: 2 Wakorintho 1:15–2:11 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kuna Tofauti Gani Kati ya Kuzaliwa Upya Katika Mwili Mwingine na Tumaini Linalopatikana Katika Biblia?—rs uku. 152 ¶4-5 (Dak. 5)
Na. 3: Mtu Anapaswa Kufanya Nini Ili Apate Kimbilio Katika Jina la Yehova?—Sef. 3:12 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Vijana—Mtatumiaje Maisha Yenu?—Sehemu ya 2. Hotuba inayotegemea trakti, Vijana—Mtatumiaje Maisha Yenu?, kutoka fungu la 10 hadi mwisho. Mhoji kwa ufupi mhubiri ambaye alianza kufanya utumishi wa wakati wote tangu alipokuwa kijana. Ni nini kilichomchochea kuchukua hatua hiyo? Amepata baraka zipi?
Dak. 10: Unapohubiri Peke Yako. Mazungumzo. (1) Unapohubiri peke yako, ni jambo gani litakalokusaidia udumishe shangwe? (2) Unapofanya ziara za kurudia ukiwa peke yako unapaswa kuwa na tahadhari gani? (3) Ikiwa kwa kawaida hakuna yeyote anayefika kwenye mkutano wa utumishi wa shambani siku ambazo unaenda kuhubiri, unawezaje kuwatia moyo wengine kutanikoni wakuunge mkono? (4) Kuna manufaa gani za kuhubiri peke yako nyakati fulani, wakati na mahali popote ambapo ni salama kuhubiri?
Dak. 10: “Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?” Maswali na majibu. Pitia kwa ufupi muundo na mambo yaliyomo katika broshua hiyo.—Ona Huduma Yetu ya Ufalme ya Machi 2013, ukurasa wa 3.
Wimbo 107 na Sala