Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 14
JUMA LINALOANZA OKTOBA 14
Wimbo 32 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Wafilipi 1–Wakolosai 4 (Dak. 10)
Na. 1: Wafilipi 3:17–4:9 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Inafaa Mtu Kuiacha Dini ya Wazazi Wake?—rs uku. 60 ¶4–uku. 61 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Sala Inaweza Kutusaidiaje Kupinga Vishawishi?—Luka 11:9-13; Yak. 1:5 (Dak. 5)
□Mkutano wa Utumishi:
Dak.15:Umoja Wetu wa Ulimwenguni Pote Humtukuza Yehova. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 165, fungu la 2, hadi kwenye kichwa kidogo ukurasa wa 168. Waombe baadhi ya wasikilizaji wasimulie mambo waliyosoma kwenye machapisho yetu yanayoonyesha jinsi umoja na upendo wa Mashahidi wa Yehova ulivyowatolea wengine ushahidi.
Dak.15:“Trakti Habari za Ufalme Na. 38 Itagawanywa Mwezi wa Novemba!” Maswali na majibu. Mpe kila mmoja aliyehudhuria trakti Habari za Ufalme Na. 38. Mwombe mwangalizi wa utumishi ataje mipango ya kutaniko lenu ya kuwafikia wengi iwezekanavyo katika eneo. Kwa kutumia pendekezo fupi lililo kwenye ukurasa wa 4, panga kuwe na onyesho la jinsi ya kutoa trakti Habari za Ufalme.
Wimbo 53 na Sala