Ratiba ya Juma Linaloanza Octoba 12
JUMA LINALOANZA OKTOBA 21
Wimbo 33 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 15 ¶13-20 (Dak. 30)
□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wathesalonike 1–2 Wathesalonike 3 (Dak. 10)
Na. 1: 1 Wathesalonike 2:9-20 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Mambo Mazuri na Mabaya Ambayo Sulemani Alifanya?—Rom. 15:4 (Dak. 5)
Na. 3: Maoni ya Biblia Ni Nini Kuhusu Kuchanganya Imani Mbalimbali?—rs uku. 61 ¶3–uku. 62 ¶3 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak.15:Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Marko 1:40-42, Marko 7:32-35, na Luka 8:43-48. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Dak.15:“Tumia Tovuti Yetu Kuwafundisha Watoto Wako.” Maswali na majibu. Mnapozungumzia fungu la 3, eleza mahali ambapo “Mwongozo kwa Wazazi” unapatikana na utoe mfano wa maagizo yanayopatikana katika sehemu hiyo. Mnapozungumzia fungu la 4, waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia Tovuti rasmi ya Mashahidi wa Yehova wakati wa ibada yao ya familia.
Wimbo 88 na Sala