Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/13 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Octoba 12

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Octoba 12
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA OKTOBA 21
Huduma ya Ufalme—2013
km 10/13 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Octoba 12

JUMA LINALOANZA OKTOBA 21

Wimbo 33 na Sala

□Funzo la Biblia la Kutaniko:

jr sura ya 15 ¶13-20 (Dak. 30)

□Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 1 Wathesalonike 1–2 Wathesalonike 3 (Dak. 10)

Na. 1: 1 Wathesalonike 2:9-20 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Mambo Mazuri na Mabaya Ambayo Sulemani Alifanya?​—Rom. 15:4 (Dak. 5)

Na. 3: Maoni ya Biblia Ni Nini Kuhusu Kuchanganya Imani Mbalimbali?​—rs uku. 61 ¶3–uku. 62 ¶3 (Dak. 5)

Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 125

Dak.15:Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Marko 1:40-42, Marko 7:32-35, na Luka 8:43-48. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.

Dak.15:“Tumia Tovuti Yetu Kuwafundisha Watoto Wako.” Maswali na majibu. Mnapozungumzia fungu la 3, eleza mahali ambapo “Mwongozo kwa Wazazi” unapatikana na utoe mfano wa maagizo yanayopatikana katika sehemu hiyo. Mnapozungumzia fungu la 4, waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia Tovuti rasmi ya Mashahidi wa Yehova wakati wa ibada yao ya familia.

Wimbo 88 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki