Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 11
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 11
Wimbo 119 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo la 5-7 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waebrania 1-8 (Dak. 10)
Na. 1: Waebrania 4:1-16 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunaweza Kuonyeshaje Kwamba Tuna “Hekima Inayotoka Juu”?—Yak. 3:17, 18 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kumpenda Jirani Ndilo Jambo la Maana?—rs uku. 63 ¶6 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Jinsi Tunavyoweza Kuwasaidia Wenye Uhitaji. Hotuba itolewe na mzee ikitegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2013, ukurasa wa 8-9.
Dak. 10: Tunawezaje Kukabiliana na Wasiwasi Tunapohubiri? Mazungumzo yanayotegemea maswali yafuatayo: (1) Sala inaweza kutusaidiaje ikiwa tuna wasiwasi kabla ya kugonga mlango wa mwenye nyumba? (2) Kwa nini kujiandaa vizuri kunatusaidia kupunguza wasiwasi? (3) Ni nini kinachoweza kutusaidia tusiwe na wasiwasi sana tunapohubiri na mwangalizi wa mzunguko? (4) Kwa nini wasiwasi hupungua kadiri tunavyoshiriki mara nyingi zaidi katika huduma? (5) Ni nini kimekusaidia kukabiliana na wasiwasi?
Dak. 10: “Wachukueni Manabii Kuwa Kielelezo—Hosea.” Maswali na majibu.
Wimbo 113 na Sala