Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 11/13 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 18

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 18
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA NOVEMBA 18
Huduma ya Ufalme—2013
km 11/13 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 18

JUMA LINALOANZA NOVEMBA 18

Wimbo 20 na Sala

❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:

jl Somo la 8-10 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Waebrania 9-13 (Dak. 10)

Na. 1: Waebrania 10:19-39 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Je, Kuwa na Uhusiano wa Kibinafsi Pamoja na Mungu Ndilo Jambo Muhimu? —rs uku. 64 ¶1-2 (Dak. 5)

Na. 3: Njia Ambazo Tunaweza Kuwafariji Wengine—Rom. 15:4; 2 Kor. 1:3, 4 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 10

Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo. Kisha, elezea kutaniko maendeleo ya kampeni ya kugawa trakti Habari za Ufalme Na. 38.

Dak. 10: “Nimekutembelea Ili . . .” Mazungumzo. Baadaye taja machapisho yatakayotolewa mwezi wa Desemba na upange kuwe na onyesho moja au mawili kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye makala.

Dak. 10: Yehova Husikiliza Sala za Watumishi Wake. (1 Yohana 3:22) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu Mwaka 2013, ukurasa wa 91, fungu la 2-3, na ukurasa wa 108-109. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo ambayo wamejifunza.

Wimbo 56 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki