Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 18
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 18
Wimbo 20 na Sala
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jl Somo la 8-10 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waebrania 9-13 (Dak. 10)
Na. 1: Waebrania 10:19-39 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Kuwa na Uhusiano wa Kibinafsi Pamoja na Mungu Ndilo Jambo Muhimu? —rs uku. 64 ¶1-2 (Dak. 5)
Na. 3: Njia Ambazo Tunaweza Kuwafariji Wengine—Rom. 15:4; 2 Kor. 1:3, 4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo. Kisha, elezea kutaniko maendeleo ya kampeni ya kugawa trakti Habari za Ufalme Na. 38.
Dak. 10: “Nimekutembelea Ili . . .” Mazungumzo. Baadaye taja machapisho yatakayotolewa mwezi wa Desemba na upange kuwe na onyesho moja au mawili kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye makala.
Dak. 10: Yehova Husikiliza Sala za Watumishi Wake. (1 Yohana 3:22) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu Mwaka 2013, ukurasa wa 91, fungu la 2-3, na ukurasa wa 108-109. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo ambayo wamejifunza.
Wimbo 56 na Sala