Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 12/13 uku. 7
  • Ratiba ya Juma Linaloanza na Desemba 30

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza na Desemba 30
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA DESEMBA 30
Huduma ya Ufalme—2013
km 12/13 uku. 7

Ratiba ya Juma Linaloanza na Desemba 30

JUMA LINALOANZA DESEMBA 30

Wimbo 126 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

jl Somo la 26-28 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Ufunuo 15-22 (Dak. 10)

Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 43

Dak. 10: “Wasaidie ‘Waimarishwe Katika Imani.’” Hotuba. Halafu, panga kuwe na onyesho la jinsi ya kutumia magazeti kuanzisha funzo katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Januari. Watie moyo wote washiriki.

Dak. 10: Msaidie Mtoto Wako Awe Mhubiri.Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo ukurasa wa 82, fungu la 1-2. Mhoji mzazi aliye mfano mzuri na ambaye mtoto wake ni mhubiri ambaye hajabatizwa. Alimsaidiaje mtoto wake kufanya maendeleo na kufikia kuwa mhubiri?

Dak. 10: Hatuko Peke Yetu Kamwe. (2 Fal. 6:16) Mazungumzo yanayotegemea 2 Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 47, fungu la 3 hadi ukurasa wa 48 fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.

Wimbo 119 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki