Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 17
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 17
Wimbo 15 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 3 ¶1-10 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 29-31 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 29:21-35 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ufufuo Utamaanisha Nini kwa Wanadamu Kwa Ujumla?—rs uku. 323 ¶2–uku. 324 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kanisa Ni Nini?—td 11A (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Hubiri kwa Shauku. Mazungumzo yanayotegemea kitabu cha Shule ya Huduma ukurasa wa 118, fungu la 1, hadi 119, fungu la 5.
Dak. 5: Je, Unatumia Tovuti ya jw.org Katika Huduma? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo yaliyoonwa yenye kupendeza waliyopata walipotumia Tovuti ya jw.org katika huduma. Watie moyo wasikilizaji wawaonyeshe watu Tovuti hiyo kila fursa inapopatikana.
Dak. 15: “Changia Shangwe Katika Majira Haya ya Ukumbusho!” Maswali na majibu. Waalike wale wanaopanga kufanya upainia msaidizi licha ya matatizo ya afya au ratiba yenye mambo mengi waeleze marekebisho ambayo watafanya ili kuongeza huduma yao. Mnapozungumzia fungu la 3, mwalike mwangalizi wa utumishi aeleze mipango ya kutaniko ya mikutano ya utumishi wa shambani katika miezi ya Machi, Aprili, na Mei.
Wimbo 8 na Sala