Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 24
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 24
Wimbo 101 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 3 ¶11-18 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 32-35 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5:Anzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Hotuba. Taja mipango ya kutaniko kwa ajili ya utumishi, Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Machi. Panga kuwe na onyesho fupi kwa kutumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 4.
Dak. 15:Umuhimu wa Kutokata Tamaa Tunapohubiri. Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 45, fungu la 1; hadi ukurasa wa 46, fungu la 1; na ukurasa wa 136-137. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10:“Kampeni ya Kuwaalika Watu Kwenye Ukumbusho Itaanza Machi 22.” Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi. Mpe kila mmoja nakala ya mwaliko, na uzungumzie yaliyomo katika mwaliko huo. Pitia mambo muhimu yaliyo katika barua ya mwongozo iliyotumwa kwa wazee, na utaje mipango ya kutaniko ya kusambaza mialiko katika eneo.
Wimbo 109 na Sala