Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 29
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 29
Wimbo 69 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 13 ¶19-23, sanduku kwenye uku. 137 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 33-36 (Dak. 10)
Na. 1: Hesabu 33:24-49 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Usipuuze Ushawishi wa Shetani —rs uku. 273 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Iliandikwa kwa Ajili ya Watu Wote—td 1C (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho la jinsi funzo linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Oktoba, kwa kutumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 4. Watie moyo wote washiriki.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Matendo 4:13 na 2 Wakorintho 4:1, 7. Zungumzieni jinsi mistari hiyo inavyoweza kutusaidia katika huduma.
Dak. 10: Mhoji Mratibu wa Baraza la Wazee. Mgawo wako unahusisha nini? Unazingatia mambo gani unapopanga ratiba ya Mkutano wa Utumishi? Kwa nini hatupaswi kumwona mratibu kuwa msimamizi wa kutaniko au wa baraza la wazee?
Wimbo 4 na Sala