Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 6
JUMA LINALOANZA OKTOBA 6
Wimbo 18 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 14 ¶1-9 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 1-3 (Dak. 10)
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 2:16-30 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Karibuni Hakutakuwa na Uvutano wa Shetani Tena—rs uku. 274 ¶2–uku. 275 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Sala Ambazo Mungu Husikia—td 29A (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toa Magazeti Mwezi wa Oktoba. Mazungumzo. Anza kwa onyesho la jinsi magazeti yanavyoweza kutolewa, kwa kutumia mapendekezo mawili yaliyo kwenye ukurasa huu. Kisha changanua mapendekezo hayo kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Dak. 10:Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Waombe wahubiri waeleze jinsi walivyofaidika kwa kutumia madokezo yaliyo kwenye makala “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuweka Msingi wa Ziara za Kurudia.” Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa yenye kupendeza.
Wimbo 83 na Sala