Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 17
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 17
Wimbo 26 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 16 ¶1-9 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 23-27 (Dak. 10)
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 25:17–26:10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Biblia Inasema Nini Kuhusu Nafsi —rs uku. 222 ¶1-5 (Dak. 5)
Na. 3: Matokeo ya Kuabudu Sanamu—td 23B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Rafiki wa Kweli. Mazungumzo yanayotegemea kibonzo kwenye ubao chenye kichwa Rafiki wa Kweli. (Tembelea Tovuti ya jw.org/sw, na tafuta kwenye MAFUNDISHO YA BIBLIA > MATINEJA.) Anza kwa kuwaonyesha wasikilizaji video hiyo. Kisha, mazungumzo yategemee maswali yafuatayo: (1) Rafiki wa kweli ni nani? (2) Unapaswa kutafuta marafiki wenye sifa zipi? (3) Unawezaje kupata rafiki mzuri? (4) Unapaswa kufanya nini ili kuimarisha urafiki? Ikiwa video hiyo haipatikani, tumia habari iliyo katika gazeti la Amkeni! la Juni 2014, lenye kichwa “Unawezaje Kuwa Rafiki Mzuri?”
Dak. 10: Upendo Hututambulisha. (Yoh. 13:35) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2014, ukurasa wa 48, fungu la 1, hadi ukurasa wa 49, fungu la 3; na ukurasa wa 69, fungu la 1, hadi ukurasa wa 70, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Dak. 10: “Mpango Mpya na Wenye Kusisimua wa Kuhubiri Hadharani.” Maswali na majibu. Ikiwa kutaniko lenu lina eneo lenye wapita njia wengi, mhoji mwangalizi wa utumishi kuhusu mipango ya kutaniko ya kuhubiri hadharani na uwaombe wasikilizaji wasimulie mambo yaliyoonwa.
Wimbo 92 na Sala