Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 2/15 uku. 3
  • Kutangaza kwa Bidii Ukweli Kumhusu Yesu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutangaza kwa Bidii Ukweli Kumhusu Yesu
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Utaiga Bidii ya Yehova na Yesu Katika Majira Haya ya Ukumbusho?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Watu Wenye Juhudi ya Kazi Njema
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
  • Uwe Mwenye Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Tunahitaji Kudumisha Bidii Katika Huduma
    Huduma ya Ufalme—2007
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 2/15 uku. 3

Kutangaza kwa Bidii Ukweli Kumhusu Yesu

Tunapojua jinsi ya kuwahubiria wengine kumhusu Yesu, bidii yetu huongezeka zaidi. Yesu ni jiwe la msingi la pembeni na imani ya kweli inajengwa juu yake. (Efe. 2:20) Bila yeye, tusingekuwa na tumaini la uzima. (Mdo. 4:12) Kwa hiyo, ni muhimu sote tutambue sehemu ambayo Yesu anatimiza katika kusudi la Mungu. Wengi wamepotoshwa na mafundisho yasiyo ya kimaandiko. Kwa kusikitisha, huenda wasifaidike na ahadi ambazo Mungu amewaahidi wale wanaomwamini Yesu. Bidii yetu itatuchochea tuwasaidie watu wenye mioyo minyoofu kupata ujuzi sahihi kumhusu Yesu, waelewe uhusiano wake pamoja na Mungu, na sehemu yake katika kusudi la Mungu. Je, utatangaza kwa bidii ukweli kumhusu Yesu katika majira haya ya Ukumbusho?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki