Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 16
JUMA LINALOANZA MACHI 16
Wimbo 65 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 21 ¶16-21, sanduku kwenye uku. 217 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 5-9 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Samweli 6:10-21 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Kwa Nini Wakristo wa Kweli Wanachukiwa—td 38A (Dak. 5)
Na. 3: Unabii wa Kimasihi Ambao Yesu Alitimiza—igw uku. 11 (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Uwe Tayari kwa Ajili ya Kila Kazi Njema.’—Tito 3:1.
Dak. 10: Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Taiwan.” Mazungumzo yanayotegemea makala ya gazeti la Mnara wa Mlinzi, Oktoba 15, 2014, ukurasa wa 3-6. Wahubiri waliotajwa katika makala hiyo walijitayarishaje ili kuhamia katika nchi ya kigeni? Walipata baraka gani?
Dak. 20: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kusitawisha Upendezi wa Watu Wanaopokea Magazeti Yetu kwa Ukawaida.” Mazungumzo. Baada ya kuzungumzia makala, panga kuwe na onyesho la mhubiri anayeanzisha funzo kwa mtu anayempelekea magazeti kwa ukawaida. Kisha mhoji mhubiri ambaye huwapelekea watu magazeti kwa ukawaida. Ni watu wangapi unaowapelekea magazeti kwa ukawaida? Unajitayarishaje kwa ajili ya kila ziara? Mwombe asimulie mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo.
Wimbo 101 na Sala