Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 23
JUMA LINALOANZA MACHI 23
Wimbo 119 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 22 ¶1-8 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 10-13 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Samweli 11:1-10 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Biblia Ilitabiri Nini Kuhusu Nyakati Zetu?—igw uku. 12 ¶1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Mke Hapaswi Kumruhusu Mume Amtenge na Mungu—td 38B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Uwe Tayari kwa Ajili ya Kila Kazi Njema.’—Tito 3:1.
Dak. 30: “Mikutano ya Utumishi wa Shambani Inayotimiza Kusudi Lake.” Maswali na majibu.
Wimbo 32 na Sala