Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 12
JUMA LINALOANZA OKTOBA 12
Wimbo 135 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 31 ¶21-23, sanduku kwenye uku. 319 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 5-7 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 6:48-60 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Uasi-imani ni Nini? (Dak. 5)
Na. 3: Kuna Tofauti Gani Kati ya Nafsi na Roho?—td 25B (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: ‘Tia mizizi’ na “kuimarishwa katika imani.”—Kol. 2:6, 7.
Dak. 10: ‘Tia Mizizi’ na “Kuimarishwa Katika Imani.” Hotuba inayotegemea kichwa cha mwezi. Ni nini maana ya ‘kutia mizizi’ na “kuimarishwa katika imani,” na tunaweza kufanya hivyo jinsi gani? (Ona gazeti la Mnara wa Mlinzi, la Juni 1, 1998, uku. 10-12.) Soma na uzungumzie Wakolosai 2:6, 7; Waebrania 6:1; na Yuda 20, 21. Pitia baadhi ya sehemu za Mkutano wa Utumishi, na uzungumzie jinsi zinavyohusiana na kichwa cha mwezi huu.
Dak. 20: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuwazoeza Wanafunzi wa Biblia Wawe na Mazoea Mazuri ya Kujifunza.” Mazungumzo. Panga kuwe na onyesho la mhubiri mwenye uzoefu akimwonyesha mwanafunzi wa Biblia jinsi ya kutumia Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO kujibu swali la Biblia.
Wimbo 116 na Sala