Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 9
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 9
Wimbo 48 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 2 ¶1-12 (Dak. 30)
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 21-25 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 23:1-11 (Isizidi dak. 3)
Na. 2: Kwa Nini Tunapaswa Kuepuka Mazoea Yote ya Kuwasiliana na Pepo?—td 27C (Dak. 5)
Na. 3: Har–Magedoni ni Nini Hasa? (Dak. 5)
Mkutano wa Utumishi:
Kichwa cha Mwezi Huu: “Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akaendelea kuikuza.”—1 Kor. 3:6.
Dak. 10: “Mimi Nilipanda, Apolo Akatia Maji, Lakini Mungu Akaendelea Kuikuza.” Hotuba inayotegemea kichwa cha mwezi huu. (1 Kor. 3:6) Wakati ukiruhusu, taja mambo fulani katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Machi 1, 1993, ukurasa wa 20-23. Pitia baadhi ya sehemu za Mkutano wa Utumishi, na uzungumzie jinsi zinavyohusiana na kichwa cha mwezi huu.
Dak. 20: “Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kutoa Kitabu Biblia Inafundisha.” Mazungumzo. Panga kuwe na maonyesho mawili. Katika onyesho la kwanza mhubiri atumie pendekezo kwenye makala na onyesho la pili mhubiri atumie utangulizi wake unaomletea matokeo.
Wimbo 111 na Sala