HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 38-44
Yehova Huwategemeza Wagonjwa
Watumishi washikamanifu wanapaswa kuwa na uhakika Yehova atawategemeza wanapopata tatizo lolote
Daudi alikuwa mgonjwa sana
Daudi aliwaonyesha ufikirio watu wa hali ya chini
Daudi hakutarajia kupona kimuujiza, badala yake alimwomba Yehova amfariji, ampe hekima, na amtegemeze
Yehova alimwona Daudi kuwa mwanamume mtimilifu